Wednesday, 21 October 2015

COALITION FOR PEOPLE'S CONSTITUTION CO-CHAIRMAN LATE DR. EMMANUEL MAKAIDI BURIED IN DAR ES SALAAM


Dk. Emmanuel Makaidi enzi za uhai wake.
makaidi (1) 
Jeneza lenye mwili wa marehemu Makaidi likiwa mbele wakati ibada maalum ya kumuombea ikiendelea.(P.T)
Mke wa marehemu, Bi Modester Makaidi akionekana mwenye majonzi mazito.

Baadhi ya viongozi mbalimbali wa vyama na serikali wakiwa wamekusanyika Viwanja vya Karimjee kuuaga mwili wa mpendwa wao, Dk Makaidi.

Jeneza lenye mwili wa Dk Makaidi likiwa limefunikwa.

makaidi (11)
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema akiwakilisha Ukawa, Edward Lowassa akipita kuaga mwili wa marehemu Makaidi.

makaidi (14)
Jeneza likiwa juu ya kaburi, viongozi wa Ukawa wakiwa wameketi wakati wa maombi maalumu kabla ya mazishi kuanza.
Mtoa maombi akiendelea na Ibada fupi kabla ya mazishi.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Makaidi likiwa limewekwa juu ya kaburi.
makaidi (15)
Jeneza lenye mwili wa marehemu Dk Makaidi likiingizwa kaburini.
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema akiwakilisha Ukawa, Edward Lowassa amewaongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NLD ambaye pia ni Mwenyekiti mwenza wa Ukawa, Dk. Emmanuel Makaidi katika Viwanja vya Karimjee na kuzikwa katika makaburi ya Sinza jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment